emblem

Bodi ya Filamu Tanzania

Tanzania: Mandhari nzuri kwa Utayarishaji wa Filamu

Vitambulisho

Ithibati na Vitambulisho

Wahusika ni wadau wote wanaojishughulisha na shughuli zozote za filamu, michezo ya kuigiza, matangazo, biashara ya filamu, utayarishaji, uigizaji, uongozaji, utafutaji mandhari na shughuli nyingine kama hizo.


Hatua za Kupata Ithibati na Kitambulisho ni:-

  1. Kujaza fomu ya maombi
  2. Kuwasilisha fomu ikiwa na viambatisho vilivyoainishwa
  3. Kitambulisho kinatolewa baada ya maombi kuridhiwa


Ada

TZS 30,000/= kwa miaka 3

(Bonyeza hapa kupakua fomu)