emblem

Bodi ya Filamu Tanzania

Tanzania: Mandhari nzuri kwa Utayarishaji wa Filamu

Habari

KAIMU MWENYEKITI WA KAMATI YA IDARA YA MAENDELEO YA FILAMU, DKT. ZILPAH OMBIJAH, AMEONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI KUELEKEA KIKAO CHA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA FILAMU TANZANIA KINACHOTARAJI


Leo, Jumanne ya Tarehe 17-06-2025—Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Idara ya Maendeleo ya Filamu, Dkt. Zilpah Ombijah, ameongoza kikao cha maandalizi kuelekea Kikao cha Bodi ya Wakurugenzi ya Bodi ya Filamu Tanzania kinachotarajiwa kufanyika hivi karibuni