emblem

Bodi ya Filamu Tanzania

Tanzania: Mandhari nzuri kwa Utayarishaji wa Filamu

Maktaba ya Picha

  • Utambulisho wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa,

    kwenye ofisi za Bodi, tarehe 15 Disemba, 2020.

    Imewekwa : April, 01, 2021

  • Kikao kazi cha pili na uongozi wa Shirikisho la Filamu na Vyama

    kwenye ukumbi wa Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, 30 Machi, 2021.

    Imewekwa : April, 01, 2021

  • Kikao cha Washereheshaji

    katika ukumbi wa Dar City Mall jijini Dar es Salaam, 17 Machi, 2021.

    Imewekwa : March, 23, 2021

  • Mhe. Innocent Bashungwa alipowatembelea Watayarishaji wa Tamthilia ya Tunu,

    Katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam, tarehe 14 Machi, 2021.

    Imewekwa : March, 23, 2021

  • Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Dkt. Kiagho Kilonzo alipowatembelea Watayarishaji wa Tamthilia ya Pazia

    Mikocheni jijini Dar es Salaam, 11 Machi, 2021.

    Imewekwa : March, 23, 2021

  • Tarehe 8 Machi, 2021, ufunguzi wa mchakato wa kupokea andiko/ mapendekezo (proposal) ya kuomba ufadhili wa kutegeneza filamu.

    unaotolewa na Dstv Tanzania. Protea Hotel jijini Dar es Salaam.

    Imewekwa : March, 23, 2021