emblem

Bodi ya Filamu Tanzania

Tanzania: Mandhari nzuri kwa Utayarishaji wa Filamu

Leseni

  • Watendaji wote katika filamu, wafanyabiashara, majumba ya sinema na studio zinatakiwa kusajiliwa na kupatiwa leseni ya uendeshaji wa shughuli zao kutoka Bodi ya Filamu Tanzania.


Leseni, Ada na Vibali

  • Leseni kwa watandaji wa filamu (wasambazaji, waoneshaji na wauzaji) ni TZS. 500,000/= kwa mwaka.
  • Kibali cha kuonesha filamu:
    • Majumba ya sinema ni TZS. 500,000/= kwa mwaka
    • Maeneo mengine ni TZS. 200,000/= kwa mwaka
    • Maeneo madogo (Vibanda umiza) ni TZS. 36,000/= kwa mwaka