emblem

Bodi ya Filamu Tanzania

Tanzania: Mandhari nzuri kwa Utayarishaji wa Filamu

Habari

​FILAMU MTAA KWA MTAA MJINI TANGA


Tarehe 20 Mei, 2023 Maafisa wa Bodi ya Filamu wakiongozwa na Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo wakiwa katika programu ya Filamu Mtaa kwa mtaa, waliwatembelea Waandaji wa Filamu ya TANGAMANO, inayoandaliwa kwa ushirikiano kati ya Kampuni ya Ginniver Great Film na One Power Media, katika Mtaa wa Kisosora Kata ya Chumbageni jijini Tanga.