emblem

Bodi ya Filamu Tanzania

Tanzania: Mandhari nzuri kwa Utayarishaji wa Filamu

Kenneth Davis Kasigila

News Image
Meneja mkuu wa usimamizi wa fedha, uhamasishaji na uhusiano CRDB Bank Plc katika kuongoza ufadhili wa shughuli za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa Tanzania, ili kuleta mabadiliko hai na mchango wa maono kwenye juhudi za ulimwengu kufikia malengo yaliyowekwa na jumuiya ya kimataifa katika kupambana na mabadiliko ya hali ya hewa kupitia vyanzo mbalimbali vya fedha kama vile Mfuko wa Umoja wa Mataifa wa hali ya hewa ya kijani www.greenclimate.fund. Usulikazi wake unahusisha zaidi ya miaka 10 ndani ya kada ya benki akifanya kazi ndani na nje ya nchi, akibobea kwenye utoaji wa huduma za awali na za usimamizi wa kibenki ambapo amekuwa akishikilia nyadhifa mbalimbali za umeneja kama vile; Meneja Standard Chartered Bank Tanzania, Meneja Stanbic Bank Tanzania, Meneja wa maendeleo ya bidhaa/tafiti, Msaididzi wa Mtendaji Mkuu / Mkurugenzi Mtendaji CRDB Bank Plc Tanzania www.crdbbank.coo.tz Mjumbe wa Bodi ya wakurugenzi wa Bodi ya Filamu Tanzania (Chombo cha serikali chini ya Wizara ya Habari, Tamaduni, Sanaa na Michezo), Mkurugenzi Mdhamini na Katibu wa Bodi ya Halopesa kwa sehemu ya biashara za Halotel, kampuni iliyopo nchini Vietnam http://viettel.com.vn/vi inayofanya kazi nchini Tanzania http://halotel.co.tz. Muhitimu wa chuo kikuu cha kikaledoni Glasgow Scotland, Shahada ya uzamili kwenye uendeshaji wa huduma za kifedha Uingereza https://www.gcu.ac.uk, Chuo kikuu cha Dar Es Salaam, Tanzania https://udsm.ac.tz Shahada ya biashara na usimamizi wa fedha. Pia hivi karibuni amemaliza Programu ya viongozi chipukizi jijini London, Uingereza https://www.london.edu/.